.
Hii ni kauli ya
mtaalamu wa lishe wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Denis Mbinga katika mahojiano na Gazeti la Mtanzania.
Katika
mahojiano hayo Mbinga amesema matatizo ya watoto kuzaliwa na vichwa
vikubwa , mgongo wazi na magonjwa mengineyo katika siku za karibuni
yameongezeka kutokana na ulaji wa vyakula visivyofaa na hasa chipsi na
vile vilivyosindikwa viwandani.

No comments:
Post a Comment